Proverbs 8:1-3

Wito Wa Hekima

1 aJe, hekima haitani?
Je, ufahamu hapazi sauti?
2Juu ya miinuko karibu na njia,
penye njia panda, ndipo asimamapo;
3 bkando ya malango yaelekeayo mjini,
kwenye maingilio, hulia kwa sauti kubwa, akisema:
Copyright information for SwhNEN